Mwanamuziki machachari toka pande za mr. Obby`Obama huko Marekani Beyonc`e Knowles,ameingia mkataba mnono na kampuni ya kinywaji cha pepsi kwa malipo ya $50mil za kimarekani hivi karibuni.
Hata hivyo pepsi pia itamwaga pesa katika investments zote za Beyonc`e bila kujali uhusiano na kampuni ya pepsi,,,,,
Friday
Beyonc`ee Afunga Mwaka na Dili NoNo!!
5:13 AM
No comments
0 comments:
Post a Comment